Jumatatu nilikuwa Radio Metro 99.4Mhz Mwanza nikizungumzia kuhusu suala la mkataba kati ya msanii muandaaji wa kazi (producer) kwa yeyote ambaye ni msanii au producer anayehitaji kufahamishwa kuhusu umuhimu wa kuwa na mkataba katika kazi zake atume maoni yake katika
page yangu ya twitter.com/deeyclassic au kicbjamii@yahoo.com na nitawasiliana naye.
Pamoja sana fans wangu.
Ni hayo tu.
Classingtone Music ni blog huru ya mtayarishaji wa muziki Deey Classic. Hapa utapata habari, matukio na mengineyo mengi kumhusu
0 comments:
Post a Comment